Zaburi 106:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Upesi wakasahau kazi zake;+Hawakungojea shauri lake.+ Zaburi 107:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana waliyaasi+ maneno ya Mungu;+Na shauri la Aliye Juu Zaidi hawakuwa wameliheshimu.+ Luka 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)
30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)