Zaburi 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mungu wa kweli Ndiye anayenifunga sana mshipi wa nguvu,+Naye ataifanya njia yangu kuwa kamilifu,+ Isaya 40:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yeye anampa nguvu mtu aliyechoka;+ naye huzijaza nguvu kamili kwa mtu asiye na nguvu zenye msukumo.+ Habakuki 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu ndiye nguvu zangu;+ naye ataifanya miguu yangu kama ile ya paa,+ na mahali pangu pa juu atanitembeza.+ Kwa kiongozi wa vinanda vyangu. Wafilipi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa mambo yote nina nguvu kupitia yeye anayenipa nguvu.+
29 Yeye anampa nguvu mtu aliyechoka;+ naye huzijaza nguvu kamili kwa mtu asiye na nguvu zenye msukumo.+
19 Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu ndiye nguvu zangu;+ naye ataifanya miguu yangu kama ile ya paa,+ na mahali pangu pa juu atanitembeza.+ Kwa kiongozi wa vinanda vyangu.