Zaburi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+ Amosi 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Katika lango wao wamemchukia mwenye kukaripia,+ nao humchukia msemaji wa mambo makamilifu.+
7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+