Kumbukumbu la Torati 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+ Matendo 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sasa wakati wa mwaka wake wa 40 ulipokuwa ukitimia, wazo likaingia moyoni mwake, awakague ndugu zake, wana wa Israeli.+ Matendo 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Na miaka 40 ilipotimia, malaika akamtokea katika mwali wa moto wa mti wa miiba katika nyika ya Mlima Sinai.+ Matendo 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+
2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+
23 “Sasa wakati wa mwaka wake wa 40 ulipokuwa ukitimia, wazo likaingia moyoni mwake, awakague ndugu zake, wana wa Israeli.+
30 “Na miaka 40 ilipotimia, malaika akamtokea katika mwali wa moto wa mti wa miiba katika nyika ya Mlima Sinai.+
36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+