Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova mwenyewe atawapigania ninyi,+ nanyi wenyewe mtakaa kimya.”

  • Kutoka 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova ni mtu wa vita+ anayetenda kiume. Yehova ndilo jina lake.+

  • Hesabu 21:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Usimwogope,+ kwa maana nitamtia yeye na watu wake wote na nchi yake mkononi mwako;+ nawe utamtendea kama vile ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni.”+

  • Kumbukumbu la Torati 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova Mungu wenu ndiye anayeenda mbele yenu. Atawapigania ninyi+ kulingana na yote ambayo aliwafanyia ninyi katika Misri chini ya macho yenu wenyewe,+

  • Kumbukumbu la Torati 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+

  • Yoshua 10:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na Yoshua akateka wafalme hao wote na nchi zao wakati mmoja,+ kwa kuwa ni Yehova Mungu wa Israeli aliyekuwa akipigania Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki