Hesabu 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na kutoka Bamothi mpaka katika bonde lililo katika uwanja wa Moabu,+ kwenye kichwa cha Pisga,+ nalo linachomoza kuelekea uso wa Yeshimoni.+ Hesabu 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nenda juu katika mlima huu wa Abarimu,+ ukaone nchi ambayo hakika nitawapa wana wa Israeli.+ Kumbukumbu la Torati 34:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+
20 Na kutoka Bamothi mpaka katika bonde lililo katika uwanja wa Moabu,+ kwenye kichwa cha Pisga,+ nalo linachomoza kuelekea uso wa Yeshimoni.+
12 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nenda juu katika mlima huu wa Abarimu,+ ukaone nchi ambayo hakika nitawapa wana wa Israeli.+
34 Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+