Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+

  • Yoshua 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, lile kosa la Peori+ lilikuwa dogo mno kwetu, ambalo hatujajitakasa katika hilo mpaka leo hii, ingawa pigo lilikuja juu ya kusanyiko la Yehova?+

  • Zaburi 106:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nao wakaanza kujishikamanisha na Baali wa Peori+

      Na kula dhabihu za wafu.+

  • Hosea 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nilimkuta Israeli kama zabibu nyikani.+ Niliwaona mababu zenu kama tini ya mapema katika mtini ulio katika majira yake ya kwanza.+ Wao wenyewe waliingia kwa Baali wa Peori,+ nao wakajiweka wakfu kwa kitu kile cha aibu, wakawa wenye kuchukiza+ kama kile kitu walichokipenda.+

  • 1 Wakorintho 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wala tusiwe waabudu-sanamu, kama baadhi yao walivyofanya;+ kama ilivyoandikwa: “Watu wakaketi ili wale na kunywa, nao wakasimama wapate kujifurahisha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki