Methali 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mlee mvulana kulingana na njia inayomfaa;+ hata atakapozeeka hatageuka kando na kuiacha.+ Waefeso 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.
4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.