12 Sasa Yehova akasema na Musa: “Njoo kwangu juu mlimani, ukae huko, kwa maana nataka kukupa mabamba ya mawe na sheria na amri ambayo nitaiandika ili kuwafundisha wao.”+
18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+
19 Basi ikawa kwamba mara tu alipoikaribia kambi naye akaweza kuiona ile ndama+ na zile dansi, hasira ya Musa ikaanza kuwaka, naye akayatupa mara moja yale mabamba mawili kutoka mkononi mwake na kuyavunja-vunja chini ya mlima.+
34Kisha Yehova akamwambia Musa: “Jichongee mabamba mawili ya mawe kama yale ya kwanza,+ nami nitaandika juu ya mabamba hayo maneno yaliyokuwa kwenye yale mabamba ya kwanza,+ ambayo uliyavunja-vunja.+