Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Amelaaniwa mtu ambaye anafanya sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya kuyeyushwa,+ kitu kinachochukiza kwa Yehova,+ kilichotengenezwa kwa mikono ya mfanyakazi wa mbao na chuma,+ na ambaye amekiweka mafichoni.’ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)+

  • Isaya 40:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nanyi mnaweza kumfananisha Mungu na nani,+ nanyi mnaweza kuweka kando yake mfano gani?+

  • Matendo 17:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+

  • 1 Wakorintho 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni+ ibada ya sanamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki