10 kwa maana utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako ili uzishike amri zake na sheria zake zilizoandikwa katika kitabu hiki cha sheria,+ kwa sababu utarudi kwa Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na nafsi yako yote.+
15 Na Yuda wote wakaanza kushangilia+ juu ya lile jambo waliloapa; kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote nao walikuwa wamemtafuta kwa furaha kamili hivi kwamba yeye aliwaruhusu wampate;+ na Yehova akaendelea kuwapa pumziko kuzunguka pande zote.+