11 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Kwa nini umemsababishia mtumishi wako uovu, na kwa nini sijapata kibali machoni pako, kwa kuuweka mzigo wa watu wote hawa juu yangu?+
14 kwa sababu ninyi mliasi agizo langu katika nyika ya Zini kusanyiko lilipogombana,+ juu ya kunitakasa+ kando ya maji mbele ya macho yao. Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+