Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Utachoka, wewe na watu hawa walio pamoja nawe, kwa sababu shughuli hii ni mzigo mkubwa mno kwako.+ Wewe huwezi kuifanya peke yako.+

  • Hesabu 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Kwa nini umemsababishia mtumishi wako uovu, na kwa nini sijapata kibali machoni pako, kwa kuuweka mzigo wa watu wote hawa juu yangu?+

  • Hesabu 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao watu wakagombana+ na Musa na kusema: “Laiti tungalikufa wakati ndugu zetu walipokufa mbele za Yehova!+

  • Hesabu 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 kwa sababu ninyi mliasi agizo langu katika nyika ya Zini kusanyiko lilipogombana,+ juu ya kunitakasa+ kando ya maji mbele ya macho yao. Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki