Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+

      Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+

      Na hakuna miungu pamoja nami.+

      Mimi huua, nami hufanya hai.+

      Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+

      Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+

  • 1 Samweli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+

      Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+

  • Isaya 45:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Yehova, Muumba wa mbingu,+ Yeye Mungu wa kweli,+ Mfanyizaji wa dunia na Mtengenezaji wake,+ Yeye aliyeifanya imara,+ ambaye hakuiumba tu bila sababu, ambaye aliiumba ili ikaliwe na watu,+ amesema hivi: “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.+

  • Marko 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine ila Yeye’;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki