Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tuliposikia hayo, ndipo mioyo yetu ikaanza kuyeyuka,+ wala roho yoyote haijaamka bado ndani ya mtu yeyote kwa sababu yenu,+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye akasema:+

      “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu,+ je, wewe si Mungu mbinguni,+ na je, wewe hutawali juu ya falme zote za mataifa,+ na je, mkononi mwako hamna nguvu na uwezo, wala hakuna anayeweza kusimama imara kupingana nawe?+

  • Zaburi 135:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+

      Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+

  • Danieli 4:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki