5 Tazama! nimewafundisha masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wangu ameniamuru mimi, ili ninyi mfanye hivyo katikati ya nchi ambayo mnaenda kuimiliki.
13 Nawe ukashuka chini kwenye Mlima Sinai+ na kusema nao kutoka mbinguni+ na kuwapa maamuzi ya hukumu+ yaliyo manyoofu na sheria za kweli,+ masharti+ na amri+ nzuri.