Kutoka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wakaanza kumwambia Musa: “Wewe sema nasi, nasi tusikie; lakini Mungu asiseme nasi tusije tukafa.”+ Kumbukumbu la Torati 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini hajainuka kamwe nabii katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso,+ Wagalatia 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+
19 Nao wakaanza kumwambia Musa: “Wewe sema nasi, nasi tusikie; lakini Mungu asiseme nasi tusije tukafa.”+
19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+