21 au ikiwa kwa uadui amempiga kwa mkono wake ili afe, lazima mpigaji huyo atauawa. Yeye ni muuaji wa kukusudia. Mlipiza-kisasi cha damu atamuua yule muuaji wa kukusudia akimkuta.+
9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+