18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+
36 Kutoka mbinguni alikufanya usikie sauti yake ili kukurekebisha; na duniani alikufanya uone moto wake mkuu, nayo maneno yake uliyasikia kutoka katikati ya moto huo.+