Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye baba alikuwa akinifundisha+ na kuniambia: “Moyo+ wako upate kushika sana maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+

  • Methali 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Shika amri zangu uendelee kuishi,+ na sheria yangu kama mboni+ ya macho yako.

  • Mhubiri 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.

  • Isaya 48:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+

  • 1 Yohana 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki