13 “Na itatukia kwamba ikiwa mtatii amri+ zangu ninazowaamuru ninyi leo ili kumpenda Yehova Mungu wenu na kumtumikia kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote,+
6 Na Yehova Mungu wako atautahiri moyo wako+ na moyo wa uzao wako,+ ili wewe umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote kwa ajili ya uhai wako.+