37 “Na hata hivyo unaendelea kuishi, kwa sababu aliwapenda mababu zako hivi kwamba akachagua uzao wao baada yao+ na kukuleta kutoka Misri mbele za macho yake kwa nguvu zake kuu,+
15 Ila Yehova alishikamana na mababu zako na kuwapenda, hivi kwamba akachagua uzao wao baada yao,+ naam, ninyi, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu, kama ilivyo leo hii.
11 kwa maana walipokuwa bado hawajazaliwa wala kufanya jambo lolote jema au baya,+ ili kusudi la Mungu kuhusu kuchagua liendelee kutegemea, si matendo, bali Yeye ambaye huita,+