Kumbukumbu la Torati 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+ Zaburi 139:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Unichunguze kabisa, Ee Mungu, uujue moyo wangu.+Unichunguze, na uzijue fikira zangu zinazofadhaisha,+ Methali 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Chungu cha kusafishia ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,+ lakini Yehova ndiye mchunguzaji wa mioyo.+
3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+
23 Unichunguze kabisa, Ee Mungu, uujue moyo wangu.+Unichunguze, na uzijue fikira zangu zinazofadhaisha,+
3 Chungu cha kusafishia ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,+ lakini Yehova ndiye mchunguzaji wa mioyo.+