Kutoka 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Musa akawatoa watu nje ya kambi ili wakutane na Mungu wa kweli, nao wakasimama kwenye sehemu ya chini ya mlima.+ Kumbukumbu la Torati 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Yehova aliliambia kutaniko lenu lote Maneno hayo katika mlima kutoka katikati ya ule moto,+ lile wingu na ule weusi mzito, kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe na kunipa mimi.+
17 Basi Musa akawatoa watu nje ya kambi ili wakutane na Mungu wa kweli, nao wakasimama kwenye sehemu ya chini ya mlima.+
22 “Yehova aliliambia kutaniko lenu lote Maneno hayo katika mlima kutoka katikati ya ule moto,+ lile wingu na ule weusi mzito, kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe na kunipa mimi.+