5 Kwa maana yeye ndiye ambaye Yehova Mungu wako amechagua kutoka kati ya makabila yako yote, asimame ili kuhudumu katika jina la Yehova, yeye na wanawe, sikuzote.+
11 Sasa, wanangu, msijipumzishe,+ kwa maana Yehova amewachagua ninyi msimame mbele zake ili kumhudumia+ na kuwa wahudumu+ wake na kuwa wenye kufukiza moshi wa dhabihu.”+