24 Lakini hawakusema moyoni mwao: “Sasa, na tumwogope Yehova Mungu wetu,+ Yeye anayenyesha mvua kubwa na mvua ya vuli na mvua ya masika katika majira yake,+ Yeye anayetulindia majuma yaliyoamriwa ya mavuno.”+
23 Nanyi, wana wa Sayuni, furahini na mshangilie katika Yehova Mungu wenu;+ kwa maana atakuwa na wajibu wa kuwapa mvua ya vuli kwa kiasi kinachofaa,+ naye atawaletea ninyi mvua kubwa, mvua ya vuli na mvua ya masika, kama pale mwanzoni.+
7 Basi, onyesheni subira, akina ndugu, mpaka kuwapo+ kwa Bwana. Tazama! Mkulima huendelea kungojea matunda yenye thamani ya nchi, anayasubiri mpaka apate mvua ya mapema na mvua ya baadaye.+