Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Lakini hawakusema moyoni mwao: “Sasa, na tumwogope Yehova Mungu wetu,+ Yeye anayenyesha mvua kubwa na mvua ya vuli na mvua ya masika katika majira yake,+ Yeye anayetulindia majuma yaliyoamriwa ya mavuno.”+

  • Yoeli 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nanyi, wana wa Sayuni, furahini na mshangilie katika Yehova Mungu wenu;+ kwa maana atakuwa na wajibu wa kuwapa mvua ya vuli kwa kiasi kinachofaa,+ naye atawaletea ninyi mvua kubwa, mvua ya vuli na mvua ya masika, kama pale mwanzoni.+

  • Yakobo 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, onyesheni subira, akina ndugu, mpaka kuwapo+ kwa Bwana. Tazama! Mkulima huendelea kungojea matunda yenye thamani ya nchi, anayasubiri mpaka apate mvua ya mapema na mvua ya baadaye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki