Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+

  • Kumbukumbu la Torati 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.

  • Zaburi 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Njooni, enyi wana, nisikilizeni;+

      Nitawafundisha kumwogopa Yehova.+

  • Zaburi 78:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+

      Na sheria akaiweka katika Israeli,+

      Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+

      Wawajulishe wana wao;+

  • Methali 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlee mvulana kulingana na njia inayomfaa;+ hata atakapozeeka hatageuka kando na kuiacha.+

  • Waefeso 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki