Kumbukumbu la Torati 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+ Kumbukumbu la Torati 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka. Zaburi 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Njooni, enyi wana, nisikilizeni;+Nitawafundisha kumwogopa Yehova.+ Zaburi 78:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+Na sheria akaiweka katika Israeli,+Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+Wawajulishe wana wao;+ Methali 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mlee mvulana kulingana na njia inayomfaa;+ hata atakapozeeka hatageuka kando na kuiacha.+ Waefeso 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.
9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+
7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.
5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+Na sheria akaiweka katika Israeli,+Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+Wawajulishe wana wao;+
4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.