Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 27:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wanaofuata ndio watakaosimama ili kuwabariki watu kwenye Mlima Gerizimu+ wakati ambapo mtakuwa mmevuka Yordani: Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Yosefu na Benyamini.

  • Yoshua 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na Israeli wote na wanaume wao wazee+ na maofisa na waamuzi wao walikuwa wamesimama upande huu wa Sanduku na upande ule mwingine mbele ya makuhani+ Walawi, waliochukua sanduku la agano la Yehova,+ mkaaji mgeni na mwenyeji+ vilevile, nusu yao walisimama mbele ya Mlima Gerizimu+ na nusu ile nyingine mbele ya Mlima Ebali,+ (kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa ameamuru,)+ ili kuwabariki+ watu wa Israeli kwanza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki