Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Hata hivyo, nabii atakayethubutu kusema katika jina langu neno ambalo sijamwamuru kusema+ au atakayesema katika jina la miungu mingine,+ nabii huyo lazima afe.+

  • Yeremia 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uwongo katika jina langu.+ Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uwongo na uaguzi na kitu kisicho na thamani+ na udanganyifu wa moyo wao ndiyo mambo wanayowaambia ninyi kwa njia ya unabii.+

  • Zekaria 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na itatukia kwamba mtu akitoa unabii tena, baba yake na mama yake, waliomzaa, watamwambia pia, ‘Wewe hutaishi, kwa maana umesema uwongo katika jina la Yehova.’ Na baba yake na mama yake, waliomzaa, watamchoma kwa silaha kwa sababu ametoa unabii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki