26 Nao wakaweka rundo kubwa la mawe juu yake, mpaka leo hii.+ Ndipo Yehova akaiacha hasira yake inayowaka.+ Ndiyo sababu jina la mahali hapo limeitwa Nchi Tambarare ya Chini ya Akori,+ mpaka leo hii.
20 Je, Akani+ mwana wa Zera siye aliyefanya tendo la kukosa uaminifu kuhusiana na kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa, na je, hasira haikuja juu ya kusanyiko lote la Israeli?+ Wala yeye siye mtu peke yake aliyekufa katika kosa lake.’”+