26 Naye akasema: “Ikiwa utaisikiliza kwa makini sauti ya Yehova Mungu wako na kufanya lililo sawa machoni pake na kutega sikio usikie amri zake na kushika masharti yake yote,+ sitaweka juu yako yoyote ya magonjwa yale niliyoweka juu ya Wamisri;+ kwa sababu mimi ni Yehova anayekuponya.”+
18 Nawe ufanye yaliyo sawa na yaliyo mema machoni pa Yehova, ili mambo yakuendee vema+ wewe, nawe kwa kweli upate kuingia na kuimiliki ile nchi nzuri ambayo Yehova amewaapia mababu zako,+