4 Hata hivyo, mtu yeyote asije kuwa maskini katikati yako, kwa sababu hakika Yehova atakubariki+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi, uimiliki,+
19 “Ikiwa utavuna mavuno ya shamba lako,+ nawe umesahau mganda shambani, hupaswi kurudi kuuchukua. Huo utakaa kwa ajili ya mkaaji mgeni, kwa ajili ya mvulana asiye na baba na kwa ajili ya mjane;+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kila tendo la mkono wako.+
8 Zaidi ya hayo, Mungu anaweza kufanya fadhili zake zote zisizostahiliwa ziwe nyingi kuwaelekea ninyi, ili, ijapokuwa sikuzote mna ujitoshelevu kamili katika kila kitu, muwe na vingi kwa ajili ya kila kazi njema.+