Kutoka 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hivi ndivyo utakavyofanya kuhusu ng’ombe-dume wako na kondoo wako:+ Siku saba atakaa na mama yake.+ Siku ya nane unipe mimi. Kumbukumbu la Torati 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+
30 Hivi ndivyo utakavyofanya kuhusu ng’ombe-dume wako na kondoo wako:+ Siku saba atakaa na mama yake.+ Siku ya nane unipe mimi.
6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+