Mathayo 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Katika siku ya kwanza ya keki zisizo na chachu+ wanafunzi wakamjia Yesu, wakisema: “Ni wapi unapotaka tukutayarishie uile pasaka?”+ Luka 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Siku ya keki zisizo na chachu sasa ikafika, ambapo mnyama wa pasaka lazima atolewe dhabihu;+
17 Katika siku ya kwanza ya keki zisizo na chachu+ wanafunzi wakamjia Yesu, wakisema: “Ni wapi unapotaka tukutayarishie uile pasaka?”+