Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Esau akaanza kukaa katika eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ni Edomu.+ Hesabu 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi mpaka kwa mfalme wa Edomu:+ “Hivi ndivyo ndugu yako Israeli+ amesema, ‘Wewe mwenyewe unajua vema magumu yote ambayo yametupata.+ Kumbukumbu la Torati 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Usimchukie Mwedomu, kwa maana yeye ni ndugu yako.+ “Usimchukie Mmisri, kwa maana ulikuwa mkaaji mgeni katika nchi yake.+
14 Basi Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi mpaka kwa mfalme wa Edomu:+ “Hivi ndivyo ndugu yako Israeli+ amesema, ‘Wewe mwenyewe unajua vema magumu yote ambayo yametupata.+
7 “Usimchukie Mwedomu, kwa maana yeye ni ndugu yako.+ “Usimchukie Mmisri, kwa maana ulikuwa mkaaji mgeni katika nchi yake.+