43 yaani, Beseri+ katika nyika kwenye nchi tambarare ya juu kwa ajili ya Warubeni, na Ramothi+ katika Gileadi kwa ajili ya Wagadi, na Golani+ katika Bashani kwa ajili ya Wamanase.+
78 na katika eneo la Yordani kule Yeriko upande wa mashariki wa Yordani, kutoka katika kabila la Rubeni,+ Beseri+ katika nyika pamoja na viwanja vyake vya malisho na Yahazi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho,