Hesabu 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 na kila mmoja wenu aliye tayari kwa kweli atavuka Yordani mbele za Yehova, mpaka atakapokuwa amewafukuzia mbali adui zake kutoka mbele zake,+ Hesabu 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Ikiwa wana wa Gadi na wana wa Rubeni watavuka pamoja nanyi Yordani, kila mtu aliye tayari kwa ajili ya vita,+ mbele za Yehova, nayo nchi itiishwe mbele yenu, basi ninyi mtawapa nchi ya Gileadi iwe miliki yao.+
21 na kila mmoja wenu aliye tayari kwa kweli atavuka Yordani mbele za Yehova, mpaka atakapokuwa amewafukuzia mbali adui zake kutoka mbele zake,+
29 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Ikiwa wana wa Gadi na wana wa Rubeni watavuka pamoja nanyi Yordani, kila mtu aliye tayari kwa ajili ya vita,+ mbele za Yehova, nayo nchi itiishwe mbele yenu, basi ninyi mtawapa nchi ya Gileadi iwe miliki yao.+