Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Jiangalie usije ukatoa matoleo yako ya kuteketezwa katika mahali pengine popote utakapoona.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nawe utatoa matoleo yako ya kuteketezwa,+ nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wako; na damu ya dhabihu zako itamiminwa juu ya madhabahu ya Yehova+ Mungu wako, bali nyama unaweza kula.

  • Yoshua 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Baadaye wale wana wengine wa Israeli wakasikia+ ikisemwa: “Tazama! Wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu katika mpaka wa nchi ya Kanaani katika maeneo ya Yordani upande ulio miliki ya wana wa Israeli.”

  • 1 Wafalme 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki