27 Nawe utatoa matoleo yako ya kuteketezwa,+ nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wako; na damu ya dhabihu zako itamiminwa juu ya madhabahu ya Yehova+ Mungu wako, bali nyama unaweza kula.
11 Baadaye wale wana wengine wa Israeli wakasikia+ ikisemwa: “Tazama! Wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu katika mpaka wa nchi ya Kanaani katika maeneo ya Yordani upande ulio miliki ya wana wa Israeli.”
28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+