Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+

  • 1 Samweli 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na zaidi, watu wa Beth-shemeshi wakasema: “Ni nani atakayeweza kusimama mbele za Yehova, huyu Mungu mtakatifu,+ naye ataondoka kwetu aende kwa nani?”+

  • Zaburi 99:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mtukuzeni Yehova Mungu wetu+ na kuinama chini penye kiti cha miguu yake;+

      Yeye ni mtakatifu.+

  • Isaya 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”

  • 1 Petro 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki