Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+ 1 Samweli 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na zaidi, watu wa Beth-shemeshi wakasema: “Ni nani atakayeweza kusimama mbele za Yehova, huyu Mungu mtakatifu,+ naye ataondoka kwetu aende kwa nani?”+ Zaburi 99:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtukuzeni Yehova Mungu wetu+ na kuinama chini penye kiti cha miguu yake;+Yeye ni mtakatifu.+ Isaya 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.” 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+
2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+
20 Na zaidi, watu wa Beth-shemeshi wakasema: “Ni nani atakayeweza kusimama mbele za Yehova, huyu Mungu mtakatifu,+ naye ataondoka kwetu aende kwa nani?”+
3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”
15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+