24 Kisha wakaliteketeza jiji kwa moto na kila kitu kilichokuwamo.+ Isipokuwa fedha na dhahabu na vyombo vya shaba na chuma wakaviweka katika hazina ya nyumba ya Yehova.+
11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa ameitakasa kutoka kwa mataifa yote ambayo alikuwa ameyatiisha,+
51 Mwishowe kazi yote ambayo Mfalme Sulemani alipaswa kufanya kuhusiana na nyumba ya Yehova ikamalizika;+ na Sulemani akaanza kuingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa amevifanya kuwa vitakatifu;+ fedha na dhahabu na vyombo akaviweka katika hazina za nyumba ya Yehova.+
11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa+ kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa amechukua kutoka kwa mataifa yote,+ kutoka Edomu na kutoka Moabu+ na kutoka kwa wana wa Amoni+ na kutoka kwa Wafilisti+ na kutoka kwa Amaleki.+