19 Kwa maana niliogopa kwa sababu ya hasira kali ambayo Yehova alikuwa ameghadhibika kuwaelekea ninyi kufikia hatua ya kuwaangamiza ninyi.+ Hata hivyo, Yehova alinisikiliza pia wakati huo.+
16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+