23 Naye Sihoni hakumruhusu Israeli apite katikati ya eneo lake,+ bali Sihoni akawakusanya watu wake wote na kwenda kukutana na Israeli nyikani, naye akaja kule Yahazi+ na kuanza kupigana na Israeli.
22 “Nawe ukawapa falme+ na vikundi vya watu, ukawagawia fungu kwa fungu;+ hivi kwamba wakamiliki nchi ya Sihoni,+ nchi ya mfalme wa Heshboni,+ na nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani.+