1 Wafalme 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebali+ wakachonga mawe, nao wakaendelea kutayarisha mbao na mawe ili kuijenga nyumba. Ezekieli 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata wanaume wazee wa Gebali+ na watu wake wenye ustadi walikuwa ndani yako wakiwa wenye kutia kalafati mipasuko+ yako. Meli zote za baharini na wanamaji wake wenyewe walikuwa ndani yako, ili kufanya biashara.
18 Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebali+ wakachonga mawe, nao wakaendelea kutayarisha mbao na mawe ili kuijenga nyumba.
9 Hata wanaume wazee wa Gebali+ na watu wake wenye ustadi walikuwa ndani yako wakiwa wenye kutia kalafati mipasuko+ yako. Meli zote za baharini na wanamaji wake wenyewe walikuwa ndani yako, ili kufanya biashara.