Mwanzo 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia. Yoshua 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jina la Hebroni hapo mwanzoni lilikuwa Kiriath-arba+ (huyo Arba+ alikuwa mwanamume mkuu kati ya Waanaki). Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+ Yoshua 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+
2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia.
15 Jina la Hebroni hapo mwanzoni lilikuwa Kiriath-arba+ (huyo Arba+ alikuwa mwanamume mkuu kati ya Waanaki). Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+
13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+