Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi acheni nichukue kipande cha mkate, niburudishe mioyo yenu.+ Baadaye, ninyi mnaweza kuendelea mbele, kwa maana hiyo ndiyo sababu mmepitia njia hii kwa mtumishi wenu.” Basi wakasema: “Vema. Unaweza kufanya kama ulivyosema.”

  • Waamuzi 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na ikawa kwamba katika siku ya nne, walipoamka asubuhi na mapema kama kawaida, akasimama ili kwenda, lakini baba ya yule mwanamke kijana akamwambia mwana-mkwe wake: “Lisha moyo wako kipande cha mkate,+ kisha baadaye mwende zenu.”

  • Ruthu 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi Boazi akala na kunywa, nao moyo wake ukachangamka.+ Kisha akaenda kulala mwishoni mwa rundo la nafaka. Kisha Ruthu akaja kisirisiri akamfunua miguuni pake, akalala.

  • Zaburi 104:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+

      Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+

      Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki