Mwanzo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+ Yoshua 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na Beth-araba+ na Semaraimu na Betheli,+ Waamuzi 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi wana wote wa Israeli,+ watu wote, wakapanda na kuja Betheli, wakalia+ na kukaa hapo mbele za Yehova nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni, wakatoa matoleo ya kuteketezwa+ na matoleo ya ushirika+ mbele za Yehova.
19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+
26 Basi wana wote wa Israeli,+ watu wote, wakapanda na kuja Betheli, wakalia+ na kukaa hapo mbele za Yehova nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni, wakatoa matoleo ya kuteketezwa+ na matoleo ya ushirika+ mbele za Yehova.