Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Gibeoni+ na Rama na Beerothi,

  • Waamuzi 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akamwambia tena mtumishi wake: “Haya, na tukaribie mojawapo ya mahali hapa, tulale usiku kucha ama katika Gibea au katika Rama.”+

  • 1 Wafalme 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Baasha mfalme wa Israeli alikuja kupigana na Yuda na kuanza kujenga Rama,+ asimruhusu mtu yeyote kutoka nje wala kuingia ndani kwa Asa mfalme wa Yuda.+

  • Yeremia 40:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova baada ya Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi kumtoa katika Rama,+ alipomchukua huku akiwa amefungwa kwa pingu za mkononi katikati ya wahamishwa wote wa Yerusalemu na wa Yuda, ambao walikuwa wakipelekwa uhamishoni katika Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki