24 Naye atawatia wafalme wao mkononi mwako,+ nawe lazima uyaharibu majina yao toka chini ya mbingu.+ Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yako,+ mpaka utakapokuwa umewaangamiza.+
13 Mara moja Sisera akakusanya pamoja magari yake yote ya vita, yale magari mia tisa ya vita yenye miundu ya chuma,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye, kutoka Haroshethi ya mataifa mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni.+