Waamuzi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara moja Sisera akakusanya pamoja magari yake yote ya vita, yale magari mia tisa ya vita yenye miundu ya chuma,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye, kutoka Haroshethi ya mataifa mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni.+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
13 Mara moja Sisera akakusanya pamoja magari yake yote ya vita, yale magari mia tisa ya vita yenye miundu ya chuma,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye, kutoka Haroshethi ya mataifa mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni.+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+