Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Je, mimi sikukuamuru wewe?+ Uwe hodari na mwenye nguvu. Usitetemeke wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda.”+

  • Waamuzi 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akatuma ujumbe kumwita Baraka+ mwana wa Abinoamu kutoka Kedesh-naftali,+ akamwambia: “Je, Yehova Mungu wa Israeli hakutoa amri? ‘Nenda, usambae katika Mlima Tabori,+ nawe uchukue wanaume elfu kumi kutoka kwa wana wa Naftali+ na kutoka kwa wana wa Zabuloni.+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki