Waamuzi 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mwishowe Gideoni mwana wa Yoashi akafa akiwa mwenye umri mwema wa uzeeni, akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake katika Ofra la Waabiezeri.+ Waamuzi 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake katika Ofra,+ akawaua ndugu zake,+ wana wa Yerubaali, watu 70, juu ya jiwe moja, lakini Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali akaachwa, kwa sababu alijificha.
32 Mwishowe Gideoni mwana wa Yoashi akafa akiwa mwenye umri mwema wa uzeeni, akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake katika Ofra la Waabiezeri.+
5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake katika Ofra,+ akawaua ndugu zake,+ wana wa Yerubaali, watu 70, juu ya jiwe moja, lakini Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali akaachwa, kwa sababu alijificha.